Menu
  • About
  • Contact
  • Follow us on
    • Twitter
    • Facebook
    • Instagram
    • Google+
  • About blog design
  • twitter
  • facebook
  • google
  • rss
  • linkedin
  • dribbble
  • pinterest

ANDWELE NEWS

Ads (728x90)

Top Menu

Menu

Menu
  • Home
  • NEWS
  • MUSIC
  • VIDEO
  • ENTERTAINMENT
    • LIFE STYLE
    • GOSSIP
    • MOVIE
    • TV SERIES
    • PHOTOS
  • SPORTS
Home » » Unlabelled » KAMATI YA UCHAGUZI TFF YATOA KALENDA YA UCHAGUZI YANGA

KAMATI YA UCHAGUZI TFF YATOA KALENDA YA UCHAGUZI YANGA

A+ A-
Print Email


T.F.F YAJIBU MAOMBI YA KAMATI YA WAZEE YANGA RASMI SASA UCHAGUZI KUFANYIKA JUNI 25,2016

Inbox
x

Yusuph Mwamba <mwambayusuph93@gmail.com>

3:10 PM (1 hour ago)


to me
        Kamati ya uchaguzi ya shirikisho la soka nchini TFF limetangaza uchaguzi mkuu wa klabu ya Yanga kuwa utafanyika juni 25,2016 badala ya juni 5,2016.

Kamati hiyo imechukua uamuzi huo kwa kuangalia maslahi ya Taifa ukizingatia Yanga inakabiliwa na michuano ya Kimataifa.

        Akizungumza na waandishi wa habari, Mwenyekiti wa mashindano Aloyce Komba amesema kwamba, sekretarieti ya Yanga ambayo ingetakiwa kufanya kazi kwa pamoja na kamati ya uchaguzi kwa kushirikiana na TFF kwa sasa inashughulikia kuiandaa timu kwa ajili ya michuano ya Kimataifa.

         'Kwa mujibu ya kamati yetu, tumekaa na kujadili na kutoa uamuzi huo wa kusogeza uchaguzi mbele ya siku zipatazo 20 kutoka juni 5,2016 hadi juni 25,2016 ili leo na kesho Yanga wanatolewa katika mashindano wakatutupia  lawa kamati ya uchaguzi na kupata visingizio kwamba kamati imechangia matokeo mabovu, tumezingatia kanuni na sheria  tukizingatia mashindano haya yana maslahi kwa Taifa letuna kwa michezo kwa ujumla', alisema Aloyce Komba. 


        Yanga inatarajiwa kuchezaxna Esperanca ya Angola katika michuano ya kombe la shirikisho BaraniAfrika mei 7, mwaka huu kabla ya kurudiana kati ya mei 17 na 18 mwaka huu huko nchini Angola.

       Kwa mujibu wa ratiba mpya, fomu za kuwania uongozi wa Yanga zitaanza kuchukuliwa mei 25,2016 na kwamba uchaguzi huo utafanyika ndani ya muda ambao Serikali kwa kupitia Baraza la michezo la Taifa (B.M.T) iliagiza uchaguzi kufanyika kabla ya juni 36,2016 hivyo uchaguzi utafanyika ndani ya wakati,na katiba itakayotumika ni ya 2010 na kwamba wanachama wa Yanga watatumia kadi za kawaida za uanachama na si za benki.
07:04
Unknown


Please comment by use Facebook:

Next
Newer Post
Previous
Older Post

Post a Comment

maxxizmkrdezign
218168578325095

Subscribe to: Post Comments (Atom)

Nje ya Africa

About Me

Unknown
View my complete profile

Archive

  • ►  2017 (1)
    • ►  June (1)
  • ▼  2016 (9)
    • ►  September (1)
    • ▼  May (4)
      • MASHINDANO YA RIADHA TAIFA KUFANYIKA MEI 27,28,201...
      • TETESI ZA USAJILI LEICESTER CITY
      • KAMATI YA UCHAGUZI TFF YATOA KALENDA YA UCHAGUZI Y...
      • ZOEZI LA UHAKIKI KADI ZA YANGA TAWI LA YOMBO ...
    • ►  April (4)
  • ►  2015 (4)
    • ►  September (2)
    • ►  April (2)
  • ►  2014 (3)
    • ►  May (3)

My Blog List

Popular Posts

  • HISTORIA FUPI YA KABILA LA WANYAKYUSA
    Historia Kihistoria watu wanaoitwa leo Wanyakyusa waliitwa Wakonde , ambao kati yao Wanyakyusa walikuwa ndio kabila kubwa. Wakati wa ...
  • Pluijm aweka wazi sababu za kumuanzisha Dida, Coutinho
    ...
  • SIASA YA TANZANIA NA MWENDO WA KUTOANA VIBANZI
    SIASA YA TANZANIA NA MWENDO WA KUTOANA VIBANZI   NA  ANDWELE MWAMBENE-0763077688  Ukweli na uwazi ni jambo la muhimu na msingi sana katika...
  • MASHINDANO YA RIADHA TAIFA KUFANYIKA MEI 27,28,2016 DAR- ES- SALAAM.
    MASHINDANO ya Taifa ya riadha kwa mwaka huu yanatarajiwa kufanyika kwa siku mbili kuanzia m...
  • WATANZANIA TUING'ARISHE AMANI YETU
    Tanzania  NDUGU WATANZANIA NCHI YETU IMEFIKA MAHALI AMBAPO TUNAPASWA KUMSHUKURU MUNGU KUTOKANA NA AMANI TULIYONAYO KWA KIPINDI CHA T...
  • Papa Francis atembelea wahamiaji Lesbon
    Image copyright epa Image caption Papa Francis Kiongozi wa kanisa katoliki duniani Papa Francis, amewasili kisiwa cha Lesbos kuonyesha k...
  • (no title)
    ZOEZI LA UHAKIKI KADI ZA YANGA TAWI LA YOMBO VITUKA Zoezi la uhakiki kadi linaanza mwanzoni mwa mwezi huu mei , pia wale ambao ka...
  • Andy Murray nje US Open
    Mchezaji maarufu duniani wa mchezo wa Tenisi Andy Murray ameyaaga mashindano ya US Open baada ya kuchapwa na Kevin Anderson wa Afrika ya ...
  • Diamond atikisa tuzo za Kilimanjaro Music Award 2013-14
    Diamond atikisa tuzo za Kilimanjaro Music Award 2013-14 Diamond na mpenzi wake Wema Sepetu wakiwa katika furaha jana nje ya ukumb...
  • Federica Mogherini,awasili Tehran
    Mshirikishe mwenzako Image copyright AFP Image caption Federica Mogherini akiwa na waziri wa mambo ya nje wa Iran Mohammad Javad Zarif M...

Gossip

Powered by Blogger.

Popular Posts

  • HISTORIA FUPI YA KABILA LA WANYAKYUSA
    Historia Kihistoria watu wanaoitwa leo Wanyakyusa waliitwa Wakonde , ambao kati yao Wanyakyusa walikuwa ndio kabila kubwa. Wakati wa ...
  • Pluijm aweka wazi sababu za kumuanzisha Dida, Coutinho
    ...
  • SIASA YA TANZANIA NA MWENDO WA KUTOANA VIBANZI
    SIASA YA TANZANIA NA MWENDO WA KUTOANA VIBANZI   NA  ANDWELE MWAMBENE-0763077688  Ukweli na uwazi ni jambo la muhimu na msingi sana katika...
  • MASHINDANO YA RIADHA TAIFA KUFANYIKA MEI 27,28,2016 DAR- ES- SALAAM.
    MASHINDANO ya Taifa ya riadha kwa mwaka huu yanatarajiwa kufanyika kwa siku mbili kuanzia m...
  • WATANZANIA TUING'ARISHE AMANI YETU
    Tanzania  NDUGU WATANZANIA NCHI YETU IMEFIKA MAHALI AMBAPO TUNAPASWA KUMSHUKURU MUNGU KUTOKANA NA AMANI TULIYONAYO KWA KIPINDI CHA T...
  • Papa Francis atembelea wahamiaji Lesbon
    Image copyright epa Image caption Papa Francis Kiongozi wa kanisa katoliki duniani Papa Francis, amewasili kisiwa cha Lesbos kuonyesha k...
  • (no title)
    ZOEZI LA UHAKIKI KADI ZA YANGA TAWI LA YOMBO VITUKA Zoezi la uhakiki kadi linaanza mwanzoni mwa mwezi huu mei , pia wale ambao ka...
  • Andy Murray nje US Open
    Mchezaji maarufu duniani wa mchezo wa Tenisi Andy Murray ameyaaga mashindano ya US Open baada ya kuchapwa na Kevin Anderson wa Afrika ya ...
  • Diamond atikisa tuzo za Kilimanjaro Music Award 2013-14
    Diamond atikisa tuzo za Kilimanjaro Music Award 2013-14 Diamond na mpenzi wake Wema Sepetu wakiwa katika furaha jana nje ya ukumb...
  • Federica Mogherini,awasili Tehran
    Mshirikishe mwenzako Image copyright AFP Image caption Federica Mogherini akiwa na waziri wa mambo ya nje wa Iran Mohammad Javad Zarif M...
 
Copyright © 2014 ANDWELE NEWS | Powered by Blogger
Design by
http://www.tubongetz.com/

Powered by WordPress24x7
Top