Menu
  • About
  • Contact
  • Follow us on
    • Twitter
    • Facebook
    • Instagram
    • Google+
  • About blog design
  • twitter
  • facebook
  • google
  • rss
  • linkedin
  • dribbble
  • pinterest

ANDWELE NEWS

Ads (728x90)

Top Menu

Menu

Menu
  • Home
  • NEWS
  • MUSIC
  • VIDEO
  • ENTERTAINMENT
    • LIFE STYLE
    • GOSSIP
    • MOVIE
    • TV SERIES
    • PHOTOS
  • SPORTS
Home » » Unlabelled » TETESI ZA USAJILI LEICESTER CITY

TETESI ZA USAJILI LEICESTER CITY

A+ A-
Print Email


LEICER CITY YAANZA TETESI ZA USAJILI

Inbox
x

Yusuph Mwamba <mwambayusuph93@gmail.com>

May 4 (2 days ago)


to me
  
          Barani ulaya huku ligi kuu mbalimbali zikiwa zinakarbia kumalizika na kushuhudia timu mbalimbali zikiwa tayari zimejinyakulia ubingwa ile hali ligi zikiwa zinaendelea, mabingwa wapya wa ligi kuu uingereza Leicer city tayari wameshaonesha nia ya kuhitaji saini ya kocha anaeifundisha Chelsea Fc kwa muda Guus Hiddink tayari kwa kuinoa timu hiyo msimu ujao wa ligi.

          Guus Hiddink anaeinoa Chelsea kwa muda inasemekana tayari uongozi wa Leicer city inafukuzia saini ya kocha huyo na kumtema kocha wao aliyowapa ubingwa Claudio Ranieri na badala yake Hiddink kurithi mikoba hiyo  tayari kuinoa timu hiyo.

          Hatahivyo, Guus Hiddink hakutaka kuliweka wazi swala hilo na badala yake alisema bado mapema mno kulizungumzia hilo na kusema hajapokea ofa ya aina yoyote kutoka kwa mabingwa hao wa London na pia ligi bado kumalizika, pia anahitaji muda wa kupumzika baada ya ligi kumalizika na hawezi kuzungumza lolote kwa sasa.

         Licha ya kuwa mabingwa wapya, uongozi wa leicer city umesema kwamba katika usajili wao watakao ufanya hawatahitaji masupa staa wakiamini wachezaji walionao watawasaidia sana kaika michuano mbalimbali ikiwemo ya klabu bingwa ulaya nakuwafanya waweze kutetea ubingwa wao mwakani.

        Manchester United nayo ipo mbioni kuwania saini ya mshambuliaji wa Atletico Madrid ambaye ni raia wa Ufaransa kwa uero 80mil.

        Lazio nayo imeonekana ikiwania saini ya straika wa Kifaransa Loic Remy anaye kipiga klabu ya matajiri wa London Chelsea, zoezi hilo linaonekana kuwa gumu huku mabingwa wapya wa jijini London Leicer city nao wakionekana kuinyemelea saini ya straika huyo wa kifaransa.

       PSG imeonekana kuwania saini ya wingamachachari raia wa ubelijiji anaekipiga kunako klabu ya Chelsea Eden Hazard na huo ni mpango wa kuweza kumrudisha tena katika klabu yake hiyo ya PSG iliyoko jijini Paris Ufaransa, lakini huenda mpango huo ukakwama kutokana na mshambuliaji huyo kuwa na mkataba mrefu ndani ya klabu hiyo unaotarajia kumalizika 2020
23:48
Unknown


Please comment by use Facebook:

Next
Newer Post
Previous
Older Post

Post a Comment

maxxizmkrdezign
218168578325095

Subscribe to: Post Comments (Atom)

Nje ya Africa

About Me

Unknown
View my complete profile

Archive

  • ►  2017 (1)
    • ►  June (1)
  • ▼  2016 (9)
    • ►  September (1)
    • ▼  May (4)
      • MASHINDANO YA RIADHA TAIFA KUFANYIKA MEI 27,28,201...
      • TETESI ZA USAJILI LEICESTER CITY
      • KAMATI YA UCHAGUZI TFF YATOA KALENDA YA UCHAGUZI Y...
      • ZOEZI LA UHAKIKI KADI ZA YANGA TAWI LA YOMBO ...
    • ►  April (4)
  • ►  2015 (4)
    • ►  September (2)
    • ►  April (2)
  • ►  2014 (3)
    • ►  May (3)

My Blog List

Popular Posts

  • HISTORIA FUPI YA KABILA LA WANYAKYUSA
    Historia Kihistoria watu wanaoitwa leo Wanyakyusa waliitwa Wakonde , ambao kati yao Wanyakyusa walikuwa ndio kabila kubwa. Wakati wa ...
  • Pluijm aweka wazi sababu za kumuanzisha Dida, Coutinho
    ...
  • SIASA YA TANZANIA NA MWENDO WA KUTOANA VIBANZI
    SIASA YA TANZANIA NA MWENDO WA KUTOANA VIBANZI   NA  ANDWELE MWAMBENE-0763077688  Ukweli na uwazi ni jambo la muhimu na msingi sana katika...
  • MASHINDANO YA RIADHA TAIFA KUFANYIKA MEI 27,28,2016 DAR- ES- SALAAM.
    MASHINDANO ya Taifa ya riadha kwa mwaka huu yanatarajiwa kufanyika kwa siku mbili kuanzia m...
  • WATANZANIA TUING'ARISHE AMANI YETU
    Tanzania  NDUGU WATANZANIA NCHI YETU IMEFIKA MAHALI AMBAPO TUNAPASWA KUMSHUKURU MUNGU KUTOKANA NA AMANI TULIYONAYO KWA KIPINDI CHA T...
  • Papa Francis atembelea wahamiaji Lesbon
    Image copyright epa Image caption Papa Francis Kiongozi wa kanisa katoliki duniani Papa Francis, amewasili kisiwa cha Lesbos kuonyesha k...
  • (no title)
    ZOEZI LA UHAKIKI KADI ZA YANGA TAWI LA YOMBO VITUKA Zoezi la uhakiki kadi linaanza mwanzoni mwa mwezi huu mei , pia wale ambao ka...
  • Andy Murray nje US Open
    Mchezaji maarufu duniani wa mchezo wa Tenisi Andy Murray ameyaaga mashindano ya US Open baada ya kuchapwa na Kevin Anderson wa Afrika ya ...
  • Diamond atikisa tuzo za Kilimanjaro Music Award 2013-14
    Diamond atikisa tuzo za Kilimanjaro Music Award 2013-14 Diamond na mpenzi wake Wema Sepetu wakiwa katika furaha jana nje ya ukumb...
  • Federica Mogherini,awasili Tehran
    Mshirikishe mwenzako Image copyright AFP Image caption Federica Mogherini akiwa na waziri wa mambo ya nje wa Iran Mohammad Javad Zarif M...

Gossip

Powered by Blogger.

Popular Posts

  • HISTORIA FUPI YA KABILA LA WANYAKYUSA
    Historia Kihistoria watu wanaoitwa leo Wanyakyusa waliitwa Wakonde , ambao kati yao Wanyakyusa walikuwa ndio kabila kubwa. Wakati wa ...
  • Pluijm aweka wazi sababu za kumuanzisha Dida, Coutinho
    ...
  • SIASA YA TANZANIA NA MWENDO WA KUTOANA VIBANZI
    SIASA YA TANZANIA NA MWENDO WA KUTOANA VIBANZI   NA  ANDWELE MWAMBENE-0763077688  Ukweli na uwazi ni jambo la muhimu na msingi sana katika...
  • MASHINDANO YA RIADHA TAIFA KUFANYIKA MEI 27,28,2016 DAR- ES- SALAAM.
    MASHINDANO ya Taifa ya riadha kwa mwaka huu yanatarajiwa kufanyika kwa siku mbili kuanzia m...
  • WATANZANIA TUING'ARISHE AMANI YETU
    Tanzania  NDUGU WATANZANIA NCHI YETU IMEFIKA MAHALI AMBAPO TUNAPASWA KUMSHUKURU MUNGU KUTOKANA NA AMANI TULIYONAYO KWA KIPINDI CHA T...
  • Papa Francis atembelea wahamiaji Lesbon
    Image copyright epa Image caption Papa Francis Kiongozi wa kanisa katoliki duniani Papa Francis, amewasili kisiwa cha Lesbos kuonyesha k...
  • (no title)
    ZOEZI LA UHAKIKI KADI ZA YANGA TAWI LA YOMBO VITUKA Zoezi la uhakiki kadi linaanza mwanzoni mwa mwezi huu mei , pia wale ambao ka...
  • Andy Murray nje US Open
    Mchezaji maarufu duniani wa mchezo wa Tenisi Andy Murray ameyaaga mashindano ya US Open baada ya kuchapwa na Kevin Anderson wa Afrika ya ...
  • Diamond atikisa tuzo za Kilimanjaro Music Award 2013-14
    Diamond atikisa tuzo za Kilimanjaro Music Award 2013-14 Diamond na mpenzi wake Wema Sepetu wakiwa katika furaha jana nje ya ukumb...
  • Federica Mogherini,awasili Tehran
    Mshirikishe mwenzako Image copyright AFP Image caption Federica Mogherini akiwa na waziri wa mambo ya nje wa Iran Mohammad Javad Zarif M...
 
Copyright © 2014 ANDWELE NEWS | Powered by Blogger
Design by
http://www.tubongetz.com/

Powered by WordPress24x7
Top